Social Icons

Featured Posts

Saturday, August 29, 2015

LOWASA KUFURU JANGWANI.


WAGOMBEA URAIS UKAWA
    UKAWA NDO HABAARI YA MJINI. uzinduzi uliokuwa ukisubiriwa kwa hamu na wananchi wa tanzania, umemalizika katika viwanja vya jangwani. mamilioni ya watanzania walihudhuria kusikia nini mh; lowasa A.K.A BABU atanena.
kweli ni safari ya matumaini.
ELIMU... ELIMU... ELIMU.....
     jambo kubwa mheshmiwa waziri mkuu mstaafu alilotilia mkazo, ni elimu. shangwe zilisikika kila pande aliposema hadharani elimu bure kwa wote na inawezekana.
     hakuishia apo, kilimo,afya,maji vijijini, na pia air tanzania zote alizitaja kuwepo kwenye ilani ya chama. kilio cha wazanzibar na kilio cha wapenda burudani wa Tanzania, kumtaka BABU SEYA vyote alivisikia na kusistiza kuwatoa kwa muda husika.
     SAFARI YA MATUMAINI ITAFIKA ITAKAPO? MABADILIKO WANAYOTAKA WANANCHI, YATAPATIKANA? majibu tutapata karibuni
TAZAMA PICHA HAPO CHINI

 

Friday, August 28, 2015

DKT MAGUFULI: UKINUNUA MADARAKA IPO SIKU UTAWAUZA ULIOWANUNUA

LIONEL MESSI MCHEZAJI BORA ULAYA


2BB6AC0D00000578-3213173-image-a-3_1440697335072
Mchezaji Bora wa Ligi ya Mabingwa Ulaya,  Lionel Messi.
MONACO, Ufaransa LIONEL Messi ametangazwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi ya Mabingwa Ulaya na kumpiku Cristiano Ronaldo katika tuzo zilizotolewa jana ambazo pia dunia ilishuhudia Manchester United ikirejea kwenye michuano hiyo hatua ya makundi. Messi, staa wa Barcelona, aliingia hatua ya fainali ya tuzo hizo pamoja na straika wa timu yake, Luis Suarez pamoja na Ronaldo wa Real Madrid, ambapo waandishi wa habari wa michezo ndiyo waliompigia kura.

NAVY KENZO WAZIDI KUCHANA ANGA


Kundi linalofanya kweli kwenye gemu la muziki, Afrika Mashariki la Navy Kenzo.

KUNDI linalofanya kweli kwenye gemu la muziki, Afrika Mashariki la Navy Kenzo, linaloundwa na wasanii ‘couple’, Aika na Nahreal limezidi kuchana anga baada ya wimbo wao unaoitwa Game kuzidi kufanya vyema kwenye media mbalimbali duniani.

How to Install Android Kitkat 4.4.4 on Samsung Galaxy Note 2 N7100 Using OmniROM

The Android OS, the Kitkat 4.4.4, can now be installed on the Samsung Galaxy Note 2. The upgrade is possible thanks to OmniROM despite GSMArena listing the OS as "upgradeable to Android 4.4.2."
image: http://images.christianpost.com/full/58180/galaxy-note-2-pink-version.jpg
Galaxy Note 2 Pink Version

Bypassing Android’s Pattern Lock Is A Piece Of Cake, All You Need Is ADB And USB Debugging Enabled

Android introduced a very different kind of entry protection in 2008. Named Pattern Lock, it allowed users to swipe in a specific way across 9 dots to unlock their smartphone. It is arguably easier to input and technically much more secure than a 4 digit PIN code.
But, as time goes by, people found ways to bypass it. The first method I’ve heard of is actually pretty simple: if your fingers are the least bit oily, they will be leave smudges in line with pattern you use to unlock. If an intruder, then, observes the smudges, they may be able to gain access to your phone. The second method is to just go by trial and error as, in my own personal experience, I’ve noticed a lot of people use letters of the alphabet (such as V, D, U, O, etc. alphabets that can be easily recreated in the pattern lock).
Now, the methods I’ve mentioned above aren’t the best when it comes to results. We’ve come across two technical ways of bypassing the pattern lock. Check them out after the jump.
GalaxyNexusPatternUnlock

Thursday, August 27, 2015

16 Incredible iPhone Tricks That Apple Has Been Keeping A Secret

http://file2.answcdn.com/answ-cld/image/upload/w_768,h_298,c_fill,g_face:center,q_60,f_jpg/v1436213541/kh54551n01nqlwblv1uo.jpg
Although iPhone owners currently dominate the cell phone market, many of these users are clueless about a variety of phone's hidden tricks and features. Check out these mind-blowing tips to begin truly using your iPhone to its full potential.
 
 
Blogger Templates